iqna

IQNA

IQNA-Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza kutekeleza wimbi la mashambulizi ya makombora dhidi ya utawala waKizayuni Israel, ili kulipiza kisasi kufuatia hujuma za utawala huo wa Kizayuni dhidi ya ardhi ya Iran.
Habari ID: 3480831    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/14

IQNA – Kocha wa klabu ya Manchester City, Pep Guardiola, ameelezea kwa uchungu hali ya mateso ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, akisema ni jambo linalomuumiza sana kila anapofikiria yanayoendelea katika eneo hilo.
Habari ID: 3480823    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/11

IQNA – Wapalestina kote Ukanda wa Gaza wameswali Swala ya Idul Adha juu ya magofu ya misikiti iliyoharibiwa na vita vya kinyama vya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3480799    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/07

IQNA-Ofisi ya Habari ya Serikali katika Gaza imetangaza kuwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya mauaji mapya ya halaiki dhidi ya raia wa Kipalestina katika maeneo ya usambazaji wa misaada ya kibinadamu, ambayo yanajulikana kama “mitego ya kifo”, ambapo watu wasiopungua 30 wameuawa shahidi na zaidi ya 120 kujeruhiwa.
Habari ID: 3480773    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01

IQNA-Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa Linalowahudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) amezitaka nchi za Kiarabu katika Ghuba ya Uajemi kutenga tone tu la fedha zilizotajwa katika ‘makubaliano makubwa’ kati yao na Rais wa Marekani, Donald Trump, ili kusaidia wakimbizi wa Kipalestina wanaopambana kuendelea kuishi katika ardhi zao ambazo Israel imezikalia kwa mabavu na pia wale wanaoishi katika nchi jirani.
Habari ID: 3480762    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/30

IQNA-Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) limeripoti kwamba zaidi ya Wapalestina 97,000 wamehamishwa Gaza katika kipindi cha siku nne pekee, huku mashambulizi ya Israeli yakizidi kuwa makali katika eneo hilo lenye mateso.
Habari ID: 3480710    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/20

Spika wa Bunge la Iran katika Swala ya Ijumaa Indonesia
IQNA-Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa Waislamu kuimarisha umoja na kuwa sauti ya watu wa Palestina walioko Ukanda wa Gaza, ambao wanakumbwa na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Israel.
Habari ID: 3480692    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/16

Jinai za Israel
IQNA-Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya ya Ghaza ametangaza leo Ijumaa kwamba ukanda huo ndilo eneo la mauaji ya umati ya kutisha zaidi katika siku za hivi karibuni kiasi kwamba Wapalestina 250 wameuliwa shahidi na Israel katika kipindi cha saa 36 zilizopita pekee.
Habari ID: 3480690    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/16

IQNA – Watu wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu Tunis na miji mingine siku ya Ijumaa, wakitaka kuwekwa sheria ya kuzuia uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni. 
Habari ID: 3480531    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12

Jinai za Israel
IQNA-Umoja wa Mataifa umesema wanawake na watoto wa Kipalestina ndio pekee waliouawa katika mashambulizi yapatayo 36 ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza tangu katikati ya mwezi Machi na kuonya kwamba mashambulizi ya kijeshi ya Israel yanahatarisha "kuendelea kuwepo Wapalestina kama jamii".
Habari ID: 3480529    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12

IQNA-Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed al-Khalili, amekosoa vikali kimya kinachoonyeshwa mbele ya jinai za kinyama zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480497    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/05

IQNA – Mashambulizi ya anga ya utawala katili wa Israel katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 100, wakiwemo 33 waliokuwa wakijisitiri katika shule.
Habari ID: 3480492    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/04

IQNA – Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeripoti kuwa zaidi ya watoto 300 wameuawa Gaza tangu vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel vilipoanza upya vita mnamo Machi 18.  
Habari ID: 3480484    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/02

IQNA – Jiji la Vienna, mji mkuu wa Austria, lilishuhudia maandamano makubwa yanayopinga kuendelea kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza. Waandamanaji walibeba mabango na vipeperushi vyenye maandiko, “Acha kuua watoto,” “Acha vita sasa,” na “Susia Israel."
Habari ID: 3480427    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/24

IQNA-Jamii ya kimataifa imebainisha hasira yake baada ya utawala katili wa Israel kuendelea na mashambulizi ya anga dhidi ya Gaza, huku ikivunja makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyokuwa na lengo la kumaliza mzozo wake wa miezi 17 na Hamas.
Habari ID: 3480404    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19

Jinai za Israel
IQNA – Mwaka jana ulikuwa mwaka wa vifo vingi zaidi katika historia ya waandishi wa habari, ambapo vifo 124 viliripotiwa, ambapo utawala wa Israeli unahusika na asilimia 70 ya vifo hivyo. Hii ni kulingana na Tume ya Kulinda Waandishi wa Habari (CPJ).
Habari ID: 3480209    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/13

Jinai za Israel
IQNA-Idara ya Ulinzi wa Raia ya Gaza imetangaza leo Ijumaa kuwa Wapalestina wasiopungua 101, wakiwemo watoto 27 na wanawake 31, wameuawa shahidi katika mashambulizi ya Israel tangu kutangazwa makubaliano ya kusitisha mapigano juzi Jumatano.
Habari ID: 3480064    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/17

Jinai za Israel
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetoa taarifa kali kikosoa jamii ya kimataifa kwa kutojali mgogoro wa kibinadamu ulioibuliwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika  Ukanda wa Gaza. 
Habari ID: 3480043    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/12

Matukio ya Palestina
IQNA – Utawala wa Israeli unaendelea kuzuia misaada muhimu kuwafikia wale wanaohitaji katika Ukanda wa Gaza, hatua ambayo Umoja wa Mataifa umeilaani.
Habari ID: 3480035    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/11

Jinai za Israel
IQNA - Shambulio la anga la utawala haramu wa Israel kaskazini mwa Ukanda wa Gaza limeripotiwa kuwaua watu 10 wa familia ya Khallah, wakiwemo watoto saba, kulingana na shirika la uokoaji la Ulinzi wa Raia wa Palestina.
Habari ID: 3479931    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21